Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Suarez kalia sana leo daaah sio mchezo kutolewa kunauma sana,
Wewe unajali kuhusu huyo msenge Kulia?! Hivi wewe ni muafrika na uzalendo na afrika yako kweli?! Unajali kuhusu huyu jamaa kulia kwann usi-judge kulia kwetu sisi waafrika pale?!
 
Jordan ni mchezaji mzuri
 
Ghana matako ya aisha
Nimelia kwa furaha...!
tukose wote tu...!!
Teh teh teh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huu uzi una comedy za kutosha haaa haaa..πŸ˜‚πŸ˜‚

Watz wanapenda sana mpira hili lipo wazi kabisa, inabidi tukomae na sisi timu yetu ya taifa siku moja ikawakilishe hili bara kwenye hayo mashindano maana hawa tuliowazoea wanazingua....πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…