Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hili li abubakar hatari atriker la ukweli kma anapiga magoli mazuri hivi na huko kwenye 6 by 6 basi mke wake anafaidi sana,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haha haha muweke demu wako mbali na yy[emoji2960][emoji2960]
 
Ukimuondoa luis enrique wa spain, sijaona kocha mwengine wa timu ya taifa mwenye mbinu za uhakika.

Makocha wengi wa timu za taifa ni wababaishaji.

Labda ni kwa sababu ya kukosa muda wa kutosha wa kuandaa timu.
Enrique na wachezaji wake wanajua mpira wanaotakiwa kucheza na wanajua kuucheza. Wanaongea lugha moja.
 
Serikali fungieni michezo yote ya kubahatisha....itatufilisi
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…