Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Yap, hakuna walicho sahau
Viongozi waliokuwa nje ya uwanja walikuwa wanafatilia mechi mbili, ya kwao na ile ya Serbia na Uswizi
Walivyoona hakuna muelekeo wa timu yao kufuzu, walianza kupiga simu makwao kuwa msosi wa kesho mchana watalia huko huko kwao kwa hiyo wakumbuke kuongeza maji ya ugali