OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Ahaa apo kweli wazungu awanaga ubabaishaji wanakunyooshea maelezoVigezo wanavyoangalia ni performance za nchi husika katika soccer. FIFA wanasema wanaangalia bara ambalo nchi zake zimechukua WC zaidi hasa kwa siku za karibuni
Kingine wameweka wazi kuwa kwa bara la Africa, Asia na America ni timu chache zinamudu kuleta ushindani katika WC (Which is true)....watu hawataki kwenda kuangalia mpira wa kuboa, Brazil au Spain inacheza na Msumbiji na kumfunga 15[emoji23]
Ila wanasema mwaka 2026 kwasababu timu zitaweza kuwa 48, basi Africa itapeleka timu 9 badala ya 5 kwsbb kwa siku za karibuni wachezaji wa Africa wameperform vizuri katika National teams
Morning AshaMkishinda mm ni Ashaboko
Gilikipa wao Livakuku π€£Hawa vijana wa Brazil ni ma HB bwana huyo golikipa anawaka
Ni kweli na wana point kabisa.Ahaa apo kweli wazungu awanaga ubabaishaji wanakunyooshea maelezo
Yamewezekana.Japo suprise zimekuwa nyingi ila cameroon kumfunga brazil hapana asee
Umeshaanza kutembea?Cameroon akifunga brazili natembea kwa miguu mpaka qatar
hio nadhani haiwezekani, kwa sababu hao wapo upande mmoja (road to final), ngoja nifuatilieKuna uwezekano Fainali ya 1998 kati ya France vs Brazil ikajirudia, lakini awamu hii Brazil hii hii akainua kombe juu.
Kwamba camrn katembeza bahasha ya kaki?[emoji1]Bado Kuna watu watasema brazil kauza match[emoji3][emoji3]
Watu wa kubet akili zao wanazijua wenyewe[emoji3][emoji3][emoji3]Kwamba camrn katembeza bahasha ya kaki?[emoji1]
Ndo mana wenyewe wanasema cheza kwa kiasi. Sasa mtu analazimisha matokeo yawe kama alivyo bet.Watu wa kubet akili zao wanazijua wenyewe[emoji3][emoji3][emoji3]
Yako yenyewe ipo mara mbili hapa mpendwa..!!re?????
Yako yenyewe ipo mara mbili hapa mpendwa..!!
Hatua ya mtoano ni hatua nyingine kabisa katika mashidano ya mpira wa miguu. Tusubiri kuona maajabuWale wote wameopita Kwa kubebwa na timu ambazo zimeshafuzu ,wanaenda kula kichapo heavy
Japan , Korea, Australia,Hawa hawana nafas ya kufika robo final + timu za Africa
Wapo pande tofauti.hio nadhani haiwezekani, kwa sababu hao wapo upande mmoja (road to final), ngoja nifuatilie
Duh kivipi mbona hajazeeka kihivoAlishaga isha kabisa uyo saivi ni sio mchezaji