Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Vigezo wanavyoangalia ni performance za nchi husika katika soccer. FIFA wanasema wanaangalia bara ambalo nchi zake zimechukua WC zaidi hasa kwa siku za karibuni

Kingine wameweka wazi kuwa kwa bara la Africa, Asia na America ni timu chache zinamudu kuleta ushindani katika WC (Which is true)....watu hawataki kwenda kuangalia mpira wa kuboa, Brazil au Spain inacheza na Msumbiji na kumfunga 15[emoji23]

Ila wanasema mwaka 2026 kwasababu timu zitaweza kuwa 48, basi Africa itapeleka timu 9 badala ya 5 kwsbb kwa siku za karibuni wachezaji wa Africa wameperform vizuri katika National teams
Ahaa apo kweli wazungu awanaga ubabaishaji wanakunyooshea maelezo
 
Ahaa apo kweli wazungu awanaga ubabaishaji wanakunyooshea maelezo
Ni kweli na wana point kabisa.

We angalia timu kama Serbia au Poland ambazo hazikuwa na historia kubwa ya soccer ila leo wanacheza kama 1st class teams

Hawa Giants wa Africa kina Ghana & Cameroon waone...wanacheza kwa uwezo wao wote wanaishia 16 bora
 
.
20221203_003402.jpg
 
Back
Top Bottom