Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Serbia na Poland hawana historia ya soka ???

Acha kuchekesha wewe
 
History za kipumbavu sana hizi
Mkuu watu wa Afrika Kuna mambo tunayachukulia poa sana. Imagine last moment Aboubakar ameshindwa kuagana na wachezaji wa timu pinzani, ameshindwa kuzungumza walau kidogo na master wa mpira wenzake, vipi angeobgeza goli la pili? Ujinga sana
 
Argentina, Brazil, Ufaransa, Spain, Ureno zote zimepigwa hatua katika mechi za makundi.

Pengine Uholanzi pekee anaweza kuwa mkubwa ambae hajafungwa mechi lakn amedroo walau moja.

Sasa leo ndio Kombe la Dunia linaanza rasmi maana ukipigwa kwenu.

Kwanzia leo sio mechi za kukosa...
 
Leo ndiyo Kila kitu kinaanza. Picha linaanza USA anakuwa taifa la kwanza kufuzu robo fainali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…