Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Amefanya save ndiyo na nilitaka nianze kumsifuHuyo Allison mwenyewe mbona ni shati tu ,hujaona save alizofanya ederson .....
Ila nao ni waafrika[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukweli afrika bado sana kwenye soka la kidunia....Moroko wamekuja na mkakati wanaweza kufika mbali kwenye mashindano haya.
Wale wote wameopita Kwa kubebwa na timu ambazo zimeshafuzu ,wanaenda kula kichapo heavy
Japan , Korea, Australia,Hawa hawana nafas ya kufika robo final + timu za Africa
Sawa sawaaa ntajaribu hahaa ila ndo naipenda kweliiSafi sana[emoji91][emoji91][emoji91]
Anza kufuatilia sasa,haina Mbambamba.
Ila yule kipa wa Jana anaitwa Ederson.
Ni Golikipa wa Man City.
Wa Liverpool anaitwa Allison,alidaka mechi za mwanzo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Na ndo wamepata wanachostahiliHaha...
Me sipendagi kimoja jamani...
Sawa sawaaa ntajaribu hahaa ila ndo naipenda kwelii
Mbappe ndo nn kudinda hivyoo[emoji39][emoji2088]View attachment 2434171
NYeusi Tunashida sana kama unaangalia mechi kuna maamuzi wachezaji wetu wanashindwa kuyafanya hadi hasira Mzee....Nafasi kama hiyo apewe mweupe uone sekunde mmelia.Ila nao ni waafrika[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mm pia mbrazili apa
Japan,Korea Hawa hawajakutana na serious opponent...wamepita tu ilimradi ,kombe la dunia halina kubahatisha mzee[emoji3][emoji3][emoji3]Acha mpira wa kukariri nani kabebwa hapo???
Wacheka nn sasa na ww[emoji16][emoji119]
[emoji23]Mbrazil wa kibaigwa
Hapo bado haijasimama[emoji23][emoji2088]Mbappe ndo nn kudinda hivyoo
Hicho kifo ni cha kujitakia maana juhudi zao hazikuwasaidia baada ya makosa badala yake wakamuachie jirani aamue kuhusu vifo vyao.Tunisia
Ujerumani
Cameroon
Uruguay
Wamekufa huku wanacheka
Wewe nae sijui unakaza kichwa ,Hao wamekutana na timu zimeshafuzu na kuweka kikosi b Tena kucheza kwa tahadhari ,hakuna high pressing , energy ,kiufupi walikuwa wanacheza kukamilisha ratiba ,kitu gani huelewii hapo ....!!Serious opponent gani?
Kati ya spain , Germany, ureno?
Acha dharau mkuu
Nikajua unajua mpira unavyo shabikia city kumbe unatuaibjisha tu citizens fans