Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Ishindwe kuchukua ubingwa Argentina ina aguero, milito ije ichukue Argentina yakina papu gomez [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Copa America ⌛
CONMEBOL UEFA Cup of Champions ⌛ Argentina 3-0 Italy

Haya niambia, wakina nani wametwaa makombe hayo? Hiyo brazili yako tumemfumua kwake tukakwea BuenosAires city na cup letu


Halafu mkuu, nikushauri tu, ushauri wa bure usio na gharama yoyote 🤣🤣🤣 acha kushabikia hilo litimu, ni aibu mwanaume mzima kushabikia hao🤣🤣🤣
 
Kitasa cha dunia
D734AFBE-605E-4320-8DA9-FBCCCF9AF568.jpeg
 
Copa America [emoji353]
CONMEBOL UEFA Cup of Champions [emoji353] Argentina 3-0 Italy

Haya niambia, wakina nani wametwaa makombe hayo? Hiyo brazili yako tumemfumua kwake tukakwea BuenosAires city na cup letu


Halafu mkuu, nikushauri tu, ushauri wa bure usio na gharama yoyote [emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kushabikia hilo litimu, ni aibu mwanaume mzima kushabikia hao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara ya mwisho Argentina kuchukua kombe la dunia ulikuwa hujazaliwa
Kwanza kubishana na shabiki wa Argentina ni aibu mm size yangu Germany, Italy
Argentina size yako England huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una kichaa wewe Poland kwenye world ranking anashika nafasi ya 28 unasema ni team mbovu.

2017 alifika Hadi nafasi ya 5 unaleta story zako za kijiweni
Sijaongelea mambo ya RANK kwasababu zinabadilika kila siku, hata Korea ikiwa hovyo ilikuwa juu ya Ghana na Senegal, nimekuuliza Poland na Serbia wamewahi kufika wapi katika World Cup? Wamewahi fika nusu fainali?

Tatizo wewe ni mjuaji tangu huko juu upo kushindana na kukashifu watu

Lete takwimu ya performance zao.
 
Kifupi ni kwamba, shabikia timu yako, chukia timu zingine zote lakini kumbuka kuwa chuki zako hazitazuia timu flani unayoichukia kuchukua kombe kama imeandikwa. Au upendo wako kwa timu yako hautasababisha timu yako kushinda ubingwa wa dunia kama haijaandikwa... na kinyume chake ndiyo ukweli...

Kifupi angalia mpira tu....
Mshindi atapatikana siku ya fainali, inaweza kuwa timu unayoipenda au unayoichukia....

Ni mtazamo tu wazeia....
 
Tupo vzr umeona?
Tupo vizuri wapi sii timu mbili tuu.
Hao tuniasia ghana na cameroun nilijua hawa timu wale.

Kocha wa ghana kama pep mnene hajui ata kusoma mchezo. Mechi zote tatuz anafungwa magoli ya aisna hiyo hiyo sasa sii bora ata ningeenda mie.
 
Tupo vizuri wapi sii timu mbili tuu.
Hao tuniasia ghana na cameroun nilijua hawa timu wale.

Kocha wa ghana kama pep mnene hajui ata kusoma mchezo. Mechi zote tatuz anafungwa magoli ya aisna hiyo hiyo sasa sii bora ata ningeenda mie.
Mhh
 
Back
Top Bottom