Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Naona watu mnaitaja Brazil naArgentina wengine ufaransa. Page ya 116 nilishasema hawa Nedherland mtawakuta fainali na aidha Brazil au watoto wa malkia

Kaeni kwa kutulia

Sent using Jamii Forums mobile app
Fainali huwezi wakuta waholanzi na Brazil maana kwenye timu nane zitakazotoa timu moja kwenda fainali wapo upande mmoja hivyo basi kama wakikutana ni kabla ya fainali na sio kwenye fainali yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…