Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Naam ilikuwa na Kina Fernando Morientes na Mchawi wa Real Madrid Raul....Unazungumzia spain ya 98 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam ilikuwa na Kina Fernando Morientes na Mchawi wa Real Madrid Raul....Unazungumzia spain ya 98 🤣🤣🤣
Bora umenikumbusha nichaji kabisa hiki kimeo wakikata tu na stream kwenye simu!! Tanesco Nyokoo sana!Hongera shemeji Ila tanesco wana kuzoom tu[emoji23][emoji23]
Unashabikia timu gani shemeji yanguUshavuta bange zako Mwehu wa Yolly shororo wa Brazil!!
Hio mechi ya zamani..angalia world cup central sio hio selectHiohiooo inayocheza na Japan nawee!!
Hatua ya mtoano ni mbinu tu...wewe miliki boli watu wanataka magoliHawa Holland wanaongoza ila mpira USA ndio wanachezaa
USA hawana forward za maana,wamepata chance nyingi wameshindwa kuzitumia.Ngoja waadhibiwe.
USA wanafungwa magoli ya diazini ile ile
Nadhani dozi hii haitoshi waongezwe ile ya sindano inayoumaaaaKwenye hii world cup nimegundua ball possession siyo kigezo cha kushinda, ila mpira wa spidi na kushtukiza ndo unaleta magoli, ukiremba unachezea za uso fasta.
USA wasipobadilika kipindi cha pili wataongezwa dozi.
Kibabu Van Gaal kinajuaWaholanzi hawana timu ya kucheza boli la kuvutia ila wanacheza direct football na inawasaidia kupata magoli