Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

..[emoji23][emoji23][emoji23]...una msimamo mzuri Sana...ukichukia unachukia kweli husiti...

.huenda hata ukipenda unapenda kweli...

..Messi kajua kuwakera..[emoji23][emoji23]
Nakadori Carleen DEMBA Scars
Yah Mimi siyo mnafiki
Kwa kweli jamaa ana juhudi na anajituma ila sijawahi kuwa shabiki wake hata Kwa bahati mbaya.

Na hapa Australia simjui mchezaji hata mmoja ila nimesimama nao.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Bila kipa kufakisha saizi ingekuwa tunaongoza 1 bila
 
Sio lazima kumshabikia.
ila mnapoanza kuupinga huo uzuri wake ambao kila mwenye macho anauona na kusema anaruka uwanjani, sijui hana uwezo ndo mnakosea.
Wapi tumeupinga?
Ni kawaida ukiwa kwenye timu,lazima uiombee njaa timu pinzani.

Ndio Mpira huo mkuu na ndio maisha yenyewe.
Hata Yesu mwenyewe pamoja na kufa msalabani ila bado Kuna watu Hadi leo hawamtaki.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…