Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Najua duniani huwezi kukubaliwa na kila mtu hata uwe mzuri vipi, ila lazima utakubaliwa na wale wanaouona huo uzuri wako.

Mfano unaweza kuwa mzuri kwenye boxing ila watu wengine wasikukubali kwasababu hawapendi mchezo wa ngumi.
ila ni ngumu kumkuta mshabiki wa ngumi hamkubali Muhamad Ali au Mike Tyson.
Au ukute mshabiki wa basketball hamkubali Mike Jordan.

Kwahyo ambao hamumkubali messi hamuuoni uzuri wake au?
Tunauona uzuri wa tunaowakubali
Akina Mo salah na wengine wengi.

Hata kama ni mzuri,ila sisi siyo shabiki zake.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mwisho wa madusko ni kwenye hizi level, huko tunakoenda ni kugumu zaidi na ndio nataka tuamue ubora wa mchezaji kupitia hizo mechi
Wataenda kukata mauno


Australia tumeamka dadeq[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Onaa hii mitakataka Miargentina inajifunga

Kuna beki wa Argentina hapa ni forward wa Australia pia

Come on Australia come onnnn[emoji108][emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Abebe hili kombe, tena hata asipofika huko ila wakikutana na timu mbili kati ya Brazil au France halafu akapita basi mi ntaanza kumkubali

Sio magoli mepesi kama haya ambayo kipa anachomesha ndio mumpe sifaaaa

Nataka kuona hizi timu zenye wachezaji mastaa wakikutana na upinzani mkali sio hii kokota komota tunayiona hapa
Hata akichukua kombe najua hautamkubali kwasababu umeshajicondtition hivyo.
Hao kina Brazil kwan hajawahi kuwafunga? Ana goli zake 5 against Brazil.
Anyway Muda ni Yuda, subiri tuone akipita nusu utavyoanza kugeuka kama chapati
 
Back
Top Bottom