Hapa kwa sengal na ecuador gol difference inaweza kuwa muhimu sana. Senegal hasipigwe nyingi dhidi ya hollandCOINCIDENTAL POINT TO YOUR COMMENT : NI KWELI ASEEEE MAANA BALL POSITION. QATAR WALITAKALAKI , SO MENTARITY YA KUPASIA OPPONENT BALL SIOOO ILA DAH QATAR ATATOKA NA POINT ZERO , NETHERLAND ITASHINDA ZOOOTE. SENEGAL ITA LOOSE YO KWA NETHERLAND NA ITASHINDA THE REST ILA EQUADOR ( THANKS FOR THEIR ALMIGHTY SERVICE ZILIZO BAKI NI LOOSE TUU )
Senegal atafungwa na neds tuu nazani na ataliza na 6 pts , afuuuu MM NAONA. CROATIA LAZIMA WABEBE ASEEEEE (POINT TO NOTE REFER ILE LILILOPITA WALIFIKA FINAL WAKIWA UNDER DOGS THEN FRANCE WAKAIBUKA !)Hapa kwa sengal na ecuador gol difference inaweza kuwa muhimu sana. Senegal hasipigwe nyingi dhidi ya holland
Wacha tuone ila croatia kwangu mie sioni wakifika finalSenegal atafungwa na neds tuu nazani na ataliza na 6 pts , afuuuu MM NAONA. CROATIA LAZIMA WABEBE ASEEEEE (POINT TO NOTE REFER ILE LILILOPITA WALIFIKA FINAL WAKIWA UNDER DOGS THEN FRANCE WAKAIBUKA !)
Quality na bado akaishia makundi, acheni mahaba ya kipuuzi nyie, south na Qatar wote kundi moja tuSouth africa alionyesha quality uwanjani sio Hawa legelege katar
Kazi ipoo... No andawea[emoji39]
Hata mimi umenigusa sana, respect kwa dogoKuna wimbo mmoja umepigwa mwishoni live performance nimeuelewa Sana unaitwaje Na muimbaji Ni nani
Hawa wachapwe tu ,wameniudhi kutaka kufosi kuvaa vitambaa vya ushoga.Kesho England akifungwa itakuwa poa sana
Wajingaa sana ata mimi nataka wapigweHawa wachapwe tu ,wameniudhi kutaka kufosi kuvaa vitambaa vya ushoga.
Argentina yasasa ni nzuri ila nakuhakikishia inafungwa vizuri na Brazil kama wakikutana.Hata mimi nawapa agerntina kwani nitafurahi sana mess akibeba ndoo, na itaniuma akichukuwa ureno bora brazili achukuwe.
Muimbaji ni jung kookKuna wimbo mmoja umepigwa mwishoni live performance nimeuelewa Sana unaitwaje Na muimbaji Ni nani
Senegal ana uwezo wa kumfunga Holland au wakatoa drooHapa kwa sengal na ecuador gol difference inaweza kuwa muhimu sana. Senegal hasipigwe nyingi dhidi ya holland
Kuna watu wanaumia sana hii World cup kufanyika Qatar,NILIONA MITANDAONI KUWA RUSHWAA KAMA KAWAIDA ILITEMBEZWA KWA EQUADOR NATIONAL TEAM ILI IFUNGWE TUU NA QATAR SO KIMETOKEA HICHO SO KUMBE SIO KWELI !??
Duuh kweli mzee?Hawa wachapwe tu ,wameniudhi kutaka kufosi kuvaa vitambaa vya ushoga.