Sijui kwanini jumuiya ya mashoga ina nguvu sana.Ukiwaongelea lazima upigwe vita sana.Hata Makonda alisumbuliwa sana na jumuiya hii mara tu baada ya kuwaingiza mashoga kwenye vita vyake,hata kupigwa ban kuingia US.Mapenzi ya jinsia moja
Senegal ana uwezo wa kumfunga Holland au wakatoa droo
Senegal leo tunaitaji draw tu atuna mambo mengi point zilizobaki tunachukua kwa qatar na ecuador
Waafrika tulivyo na njaa tunaweza kuuza mechi kwa waarabu ili tulipwe mapipa ya mafuta.Senegal wanacheza mpira wa kawaida sana anaweza akashindwa kupata matokeo dhidi ya katar
Sio kweli, tusubiri tuoneSenegal anaweza asmfunge katar
Hee kumbe Messia ndo anatoka na hii pisi?Messi hii ngoma yake....yani hyo mechi ntalipia dstv cha juu kabisa nimwangalie tu shemeji yenu bwana Messi akibanjuka uwanjani
Itakuwa huyo mchezaji alikuja baada ya hili tukio kutanguliaMbona kulikuwa Na mchezaji mwingine wa Qatar mbele Zaid YA hao?
Mbona kulikuwa Na mchezaji mwingine wa Qatar mbele Zaid YA hao?
sababu kipa alitoka huyo mchezaji mmoja aliyezidi wa Qatar alihesabiwa kama kipa, Sheria ya offside inataka wakabaji wawili wawe mbele ya mshambuliaji, akiwepo mkabaji mmoja tu hata kama sio kipa ni offside.Itakuwa huyo mchezaji alikuja baada ya hili tukio kutangulia
Mechi ya leo ni ngumu saana kwa Senegal labda droo, otherwise anafungwaSenegal ajitahid ashinde gem la leo. Mech yao na ecuador itakua ngumu.
Me paskali sio pisikaliHee kumbe Messia ndo anatoka na hii pisi?
Iran hana ubavu kabisa wa kumpiga mkoloni.Leo nawaombea heri iran ampige mkoloni
KabisaIran hana ubavu kabisa wa kumpiga mkoloni.
Naona watu wanawachukulia poa wajukuu wa malkia...ila naye ndugu yetu Senegal tumwombee sana maana m-dutch si mtu mzuri kabisaIran hana ubavu kabisa wa kumpiga mkoloni.
Yan Senegal washinde dhidi ya uholanzi duh wapambane kwelikweliSenegal ajitahid ashinde gem la leo. Mech yao na ecuador itakua ngumu.