Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mapenzi ya jinsia moja
Sijui kwanini jumuiya ya mashoga ina nguvu sana.Ukiwaongelea lazima upigwe vita sana.Hata Makonda alisumbuliwa sana na jumuiya hii mara tu baada ya kuwaingiza mashoga kwenye vita vyake,hata kupigwa ban kuingia US.
Mashoga na ulimwengu kwa ujumla lazima waelewe kwamba ushoga ni dhambi tangu enzi na enzi,ndio iliyosababisha miji ya sodoma na GOMORAH kuunguzwa kwa moto enzi za nabii Lutu na Nabii Abrahamu😳
 
Mephis anadai Kwa Africa timu yake pendwa ni Ghana tu sababu uko ndio asili yake
11_72868083_21_110108375216690136854451307120066.jpg
 
Mbona kulikuwa Na mchezaji mwingine wa Qatar mbele Zaid YA hao?
Itakuwa huyo mchezaji alikuja baada ya hili tukio kutangulia
sababu kipa alitoka huyo mchezaji mmoja aliyezidi wa Qatar alihesabiwa kama kipa, Sheria ya offside inataka wakabaji wawili wawe mbele ya mshambuliaji, akiwepo mkabaji mmoja tu hata kama sio kipa ni offside.
 
Back
Top Bottom