MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Timu ya MagazetiEngland XI: Pickford, Walker, Stones, Maguire, Shaw; Bellingham, Rice, Henderson; Saka, Kane, Foden.
Mimi siyo risk takerHaya weka 10k mkuu, maisha bila risk hatufiki[emoji1787]
Leo unashangilia ipi?Abeeee!!!!
Punguza kudandia vitu visivyokuhusu...huyo mdau tunataniana wewe unakuja na kukurupuka tuHujui Mpira, Umejaa Mipasho tu
🤣🤣🤣Mimi siyo risk taker
Elfu 5 tu siweki.
Nachezaga tatu mzuka ya buku kila baada ya miezi ..nikiliwa buku langu unakuta roho imeuma hatari.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
La Pulga, Little Flea, Kiroboto unamsahau sana mkuuNipo na senegal hadi mwisho ila fainali naitamani France na Brazil
Naaaaam[emoji23][emoji23][emoji23]Utu na utulivu, inahitaji akili kubwa kukuelewa, sie average ni ngumu kuelewa hapa[emoji1787]
Safi sanaMbape ni fan lia lia wa CR7. pia ilibaki kidogo tu atue R.Madrid
Watoto wa nyumbani Shem....Leo unashangilia ipi?
Unaota ukiwa wapi mkuu?Senegal anashinda hii mechi
Mimi Senegal 🇸🇳 ata kama tunafungwaWatoto wa nyumbani Shem....
Wewe?
Leo zinacheza zote timu zanguTeam senegal tonight [emoji16]
Diatta ni mbishi sana