Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Turn on.. vp hamna? 🤣TBC hii mechi hawaioneshi?
HamnaTurn on.. vp hamna? [emoji1787]
Leo si uzalendo kwanza jamanii
Saa 1 hiyoo
Wote Senegal 😁
Sure!Naona watu wanawachukulia poa wajukuu wa malkia...ila naye ndugu yetu Senegal tumwombee sana maana m-dutch si mtu mzuri kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 basi mtaona ya SenegalHamna
Ye nae 🤣🤣🤣Maguire analalamika penati🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maguire analalamika penati[emoji1787][emoji1787]
Sema alikumbatiwa kweliYe nae 🤣🤣🤣
Anadhani yuko Man u hapo
Mganga wake atakuwa wa sudan[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa anasemwa sana, lakini ana nyota ya kuingia first eleven
Timu la maana leo linamchakaza mtu.