Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau wana nguvu na juhudi ya kutafuta goliSenegal wanacheza leo. Wanaweza kurudisha lkn
Wanachomoaa🤣🤣🤣Hali ni ngumu sana kwa Senegal
Hawa ufaransa wanavyocheza kule mbele mbona kama vile siwaelewi, unaweza kuhisi Wana maelekezo kabisa ya kumpa mpira Mbape pindi wanapoenda kushambulia
Movement nyingi Giroud ndio anakuwa kwenye position nzuri ila hapewi mpira anatafutwa Mbape alipo au ndo kusema wachezaji wenzie hawamuamini au vipi
Na hasa kama mpira umetokea Kwa Hernandez ndio kabisa, ye mipira yote anapiga v pass ili kumtafuta Mbape na hapigi pass kwenda Kwa Giroud
Nimeona pia mara kadhaa kutokea upande wa Griezman pia, isije kuwa ufaransa nawao wanataka kutengeneza Ronaldo au Messi wao
Wanatakiwa wawe calm na wawe offensiveSenegal wamepaniki watapigwa nyingi na vibonde kabisa England
Mm pia Msenegli ia leo...ahemmmmWasenegali ngoja tukajilalie zetu
Narudia tena kusema
Hakuna team ambayo ni msindi wa pili kwenye group itapita kwenda Robo fainali
Tupo hapa
Sent using Jamii Forums mobile app