Hawa ufaransa wanavyocheza kule mbele mbona kama vile siwaelewi, unaweza kuhisi Wana maelekezo kabisa ya kumpa mpira Mbape pindi wanapoenda kushambulia
Movement nyingi Giroud ndio anakuwa kwenye position nzuri ila hapewi mpira anatafutwa Mbape alipo au ndo kusema wachezaji wenzie hawamuamini au vipi
Na hasa kama mpira umetokea Kwa Hernandez ndio kabisa, ye mipira yote anapiga v pass ili kumtafuta Mbape na hapigi pass kwenda Kwa Giroud
Nimeona pia mara kadhaa kutokea upande wa Griezman pia, isije kuwa ufaransa nawao wanataka kutengeneza Ronaldo au Messi wao