Anaweza kufunga huyu mpuuziii🤣Maguire kawakosa
Inanikumbusha Simba dhidi ya IhefuIran wako nyuma ya mpira
Tubet 🤣Timu la maana leo linamchakaza mtu.
Weka lakiTubet 🤣
Kombe linaenda brazilArgentina habebi kombe[emoji3][emoji3][emoji3],kuna timu ngeni itakuchukua hamtaamini.
TBC wanaonyesha ila sina imani nao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa unajua football, Hawa Ecuador tusiwachukulie poa, Senegal anaweza pigwa kabisaSenegal ajitahid ashinde gem la leo. Mech yao na ecuador itakua ngumu.
Naweka laki na nusuWeka laki
Almost dk 5 zimeendaHuyi goli kipa kaumiaje pale mbona sijaelewa?
Kwahiyo wameamua kwenda na UBU kabisaa au sio?TBC LIVE KUTOKA QATAR [emoji34][emoji34][emoji34][emoji22][emoji22]View attachment 2423202
Nose bleed, nahisi aliangukia puaAlmost dk 5 zimeenda
Pole mkuuHuku kwetu kama kawa tangu asubuhi hakuna moto