Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #1,681
Huko kwenu mnaonewa sn na tanesco. PoleniHuku kwetu kama kawa tangu asubuhi hakuna moto
Huko kwenu mnaonewa sn na tanesco. Poleni
Walikuwa wanawachezea nusu uwanjaVp waingereza wanatandaza mbungi?
Sio wewe tu mkuu mwnyw huku nilipo hakuna umeme tang sa1 asbh hapa tu naenjoy mpr kwny simu hakuna namna Dstv now inatuokoa.Huku kwetu kama kawa tangu asubuhi hakuna moto
Hahahahaha changamotoYaani nina dstv now ila mchawi bando sasa😂
Wakileta masiara watakuta kamba zinatingisha na 1 bila game imeishaHuyu Straka wa Iran Mehdi Taremi wamchunge sana ni ana hatari sana
Inamaanisha nini hii??🇮🇷 wanatuma ujumbe
View attachment 2423216
Hawa watakua hawakai Iran vingenevyo mbn kaz wanayo.[emoji1130] wanatuma ujumbe
View attachment 2423216
Iran si ndo wanawake wanabanwa ata kuendesha gari ilikuwa no...ata kwenda uwanjaniInamaanisha nini hii??
🤣🤣🤣🤣🤣Hawa watakua hawakai Iran vingenevyo mbn kaz wanayo.
[emoji23]Yan Mkuu wakirud kama wanakaa Iran watajua hawajui.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]