Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
KabisaMechi haijatulia kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMechi haijatulia kabisa
Mpk saiv wa Iran kwao sio Mby mda unavozid kwend kwao ndo furaha na watt wa malkia wanazid kua frustrated hawapat goal.Mechi haijatulia kabisa
Ila ni swala la muda tu England watapata goliKabisa
Hahahahaha Maguire ana nini leo ..kakosaIla ni swala la muda tu England watapata goli
Kabisa atleast Iran wanatia moyo sio kama Qatar jana jamaa wale rojo rojo sanaMpk saiv wa Iran kwao sio Mby mda unavozid kwend kwao ndo furaha na watt wa malkia wanazid kua frustrated hawapat goal.
Ilikuwa hatari imenikumbusha Wong Yat Fei kwenye Shaolin Soccer
Iran wako vizuri mara miaKabisa atleast Iran wanatia moyo sio kama Qatar jana jamaa wale rojo rojo sana
Kuna watu wanashabikia hiyo timu ya ayatollah?Ni vizuri kuishabikia Iran kama timu unayoipenda
Ila ni risk sana kama umeibetia
Vita personalMbugi ilitakiwa USA vs Iran
Nani kawekaTayariiii