Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Afu hawa si ndo wanasifika kwa uchawi

Na miaka yote wamekuwa washiriki tu kwenye hii michuano, lakini hata kufika robo sidhani kama walishawahi
Wamewahi mara moja enzi za okocha
 
Naoana timu yangu Iran amuizungumzi kabisa Sisi furaha yetu ni Kumfunga marekani

ata tukifungwa na team nyingine Aina noma lakni sio Marekani na England atuwezi kukubari tutarusha bom uwanjani kombe liishe.
 
Kama ni mechi itakuwa saa moja usiku sawa na 16.00 GMT
Doha na Dar wanatumia time zone, hivyo haya mashindani yatarushwa kwenye the same time na huku kwetu
Ni sawa, mechi saa 1 ila sherehe za ufunguzi zitaanza saa 11
 
View attachment 2383741

Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini ni mara ya pili kwa michuano hiyo kufanyika katika bara la Asia mara baada ya Korea Kusini na Japan kuandaa kwa pamoja mwaka 2002.

Pia michuano ya mwaka huu, ni kwa mara ya kwanza kufanyika nje ya utaratibu uliozoelekea wa mwezi May, June au July. Michuano ya safari hii itafanyika mwezi November mpaka December kutokana hali ya hewa kuwa rafiki tofauti na joto kali la miezi ya May, June au July.

Qatar ambao ni wenyeji wa michuano hiyo, itakuwa ni mara yao ya kwanza kufuzu toka Kombe la Dunia lianzishwe. Hivyo wametumia vyema nafasi ya mwenyeji kufuzu automatic.

Kombe la Dunia la mwaka huu 2022 litakuwa la mwisho kushirikisha timu 32 kama ilivyo katika utaratibu wake.
Kuanzia michuano ijayo ya mwaka 2026 itakuwa inashirikisha timu 48.

Mpira wa Kombe la Dunia la mwaka huu, unajulikana kama "Al Rihla" ikiwa na maana ya " the journey " safari kwa kiswahili. Ni mpira maalum ambao umetengenezwa na Adidas huku ukiwa umefungwa kifaa maalum cha kusaidia kugundua offside kwa haraka zaidi.

Michuano hiyo itafanyika katika viwanja vinane ndani ya majiji matano. Kiwanja mojawapo ambacho ni kivutio ni "Stadium 974" ambapo kimetengenezwa kwa kutumia makontena 974 na kitavunjwa punde baada ya kumalizika kwa michuano hiyo.

Vikosi vya timu vitaanza kutangazwa mapema mwezi ujao wa November na kila timu itatakiwa kuwa na wachezaji 26 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.

Mechi ya ufunguzi tarehe 20 Nov itamuhusisha mwenyeji ambapo itakuwa ni Qatar Vs Ecuador.

Kwa raundi mbili za mwanzoni katika hatua ya makundi, mechi zitapigwa katika majira yafuatayo; Saa 7:00 mchana, Saa 10:00 jioni, Saa 1:00 Usiku na Saa 4:00 Usiku.

Baada ya hapo, mechi za raundi ya mwisho za makundi, mechibza mtoano mpaka Fainali zitakuwa zikipigwa Saa 1:00 usiku na Saa 4:00 usiku.

Masaa ya Qatar ni sawa kabisa na masaa ya hapa Afrika Mashariki, hivyo muda utakuwa unafanana.

Tutashuhudia mechi zote 64 kupitia DStv. Kwa wale wa kustream, Hesgoal.com itakuwa chaguo sahihi kwako.

Updates zote za vikosi vitakavyoitwa, ratiba za mechi, jezi, uchambuzi na mengineyo utayapata hapahapa kwenye uzi huu.

Karibuni sana...
View attachment 2383805

WANAOTABILIWA SANA KUTWAA WC NI
1.BRAZIL
2.ARGENTINA
3.FRANCE
4.GERMANY

Na underdogs wa WC Mwaka huu ambao wasipokaa kitaalamu wataondoka bila point ni
1.QATAR
2.IRAN
3.SAUDI

Timu kutoka Africa inayoweza kufika hatua ya mtoano ni SENEGAL PEKEE

Kombe la Dunia mwaka huu ni kama nafasi ya pekee kwa Messi kukamilisha sifa yake kama Mchezaji bora wa dunia ashindwe mwenyewe tu , sema Brazil wamependelewa😀😀
 
Mashabiki wa Uingereza msijisahaulishe
images (13).jpeg
 
Naoana timu yangu Iran amuizungumzi kabisa Sisi furaha yetu ni Kumfunga marekani

ata tukifungwa na team nyingine Aina noma lakni sio Marekani na England atuwezi kukubari tutarusha bom uwanjani kombe liishe.
Iran uyo ni underdog tu wa kuwapatia watu point kwenye group lao B wapo ENGLAND,US,IRAN na WALES

England ataongoza nafasi ya kwanza US ya pili na ya tatu ni IRAN na nne ni WALES , irani atapigwa na US , Sema atamkazia Wales
 
Iran uyo ni underdog tu wa kuwapatia watu point kwenye group lao B wapo ENGLAND,US,IRAN na WALES

England ataongoza nafasi ya kwanza US ya pili na ya tatu ni IRAN na nne ni WALES , irani atapigwa na US , Sema atamkazia Wales
Iran usichukurie pow mkuu kati ya USA na England kunamoja atakaa tuko apa
 
Ronaldo de Assis Moreira "Ronaldinho Gaucho" Mwamba alikuwa na uwezo wa kubadili tabasamu lake likaonekana bora kuliko goli alilofunga... Binafsi nilijikuta nashabikia Brazil kwa influence yake leo hii napata ghadhabu sana litimu limebaki na wavulana wasiojitambua... TakatakaView attachment 2421925
Brazil wanatimu kali sana na group simple sana watafika ata fainali ila kuna vijana mule hawajitambui wakileta utoto tena safari hii watazngua sana aswa yule dogo neema uwa ana utoto sana
 
Back
Top Bottom