magana de gunners
Member
- Dec 14, 2019
- 47
- 102
I should wait till this generation is wiped away kizazi takataka kabisa hikiWata resume vp dominance wakati vijana ni walamba [emoji105] mkuu
Talent ilikwiasha 2002 the rest ni history
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I should wait till this generation is wiped away kizazi takataka kabisa hikiWata resume vp dominance wakati vijana ni walamba [emoji105] mkuu
Talent ilikwiasha 2002 the rest ni history
Cameroon haiwezi Switzerland. Switzerland wapo vizuriNi kweli ulichoandika ila Cameroon anaweza kukomaa kwa Serbia au Swtzeland hasa Serbia, though ni kweli wapo vizuri sana
Zile hadithi za team ya china kubadilisha kikosi kizima half time zilivumishwa na hawa jamaaa.
Teh teh teh
View attachment 2421840
Brasil tatizo ni ufaza umemzidi. Team work, commitment hakuna.I should wait till this generation is wiped away kizazi takataka kabisa hiki
Kawasili Rwanda[emoji28][emoji28]Rais Kagame wa Rwanda ameshawasili Rwanda tayari kabisa kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia hapo baadae.View attachment 2422112
Sio Neymar tu Kuna Vinicius Jr hata Richarlison utoto mwingi sana.Brazil wanatimu kali sana na group simple sana watafika ata fainali ila kuna vijana mule hawajitambui wakileta utoto tena safari hii watazngua sana aswa yule dogo neema uwa ana utoto sana
Benzema, Kante, Pogba, hawapo, iko kaziFrance anaishia group stage ,hii ni laana ya world cup winner ....
Kawaulize German ,Spain baada ya kuchukua world cup .....
Na huku nilipo washazima nasikia watarudisha saa 1 usiku ovyo kabisa hii nchi.Labda TANESCO wafanye yao
Mkuu kwani sherehe za ufunguzi zimeamishiwa Rwanda au ulitaka kusema niniRais Kagame wa Rwanda ameshawasili Rwanda tayari kabisa kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia hapo baadae.View attachment 2422112
Typing error mkuuMkuu kwani sherehe za ufunguzi zimeamishiwa Rwanda au ulitaka kusema nini
Benzema hakuwepoBenzema, Kante, Pogba, hawapo, iko kazi
Hao wachezaji ndio walikuwa key katika ubingwa wa 2028
sitakisahau Kile kipigo Cha mbwa mwizi walichokipata Spain kutoka kwa Netherlands kule BrazilFrance anaishia group stage ,hii ni laana ya world cup winner ....
Kawaulize German ,Spain baada ya kuchukua world cup .....
UTABIRI WA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA...View attachment 2383741
Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini ni mara ya pili kwa michuano hiyo kufanyika katika bara la Asia mara baada ya Korea Kusini na Japan kuandaa kwa pamoja mwaka 2002.
Pia michuano ya mwaka huu, ni kwa mara ya kwanza kufanyika nje ya utaratibu uliozoelekea wa mwezi May, June au July. Michuano ya safari hii itafanyika mwezi November mpaka December kutokana hali ya hewa kuwa rafiki tofauti na joto kali la miezi ya May, June au July.
Qatar ambao ni wenyeji wa michuano hiyo, itakuwa ni mara yao ya kwanza kufuzu toka Kombe la Dunia lianzishwe. Hivyo wametumia vyema nafasi ya mwenyeji kufuzu automatic.
Kombe la Dunia la mwaka huu 2022 litakuwa la mwisho kushirikisha timu 32 kama ilivyo katika utaratibu wake.
Kuanzia michuano ijayo ya mwaka 2026 itakuwa inashirikisha timu 48.
Mpira wa Kombe la Dunia la mwaka huu, unajulikana kama "Al Rihla" ikiwa na maana ya " the journey " safari kwa kiswahili. Ni mpira maalum ambao umetengenezwa na Adidas huku ukiwa umefungwa kifaa maalum cha kusaidia kugundua offside kwa haraka zaidi.
Michuano hiyo itafanyika katika viwanja vinane ndani ya majiji matano. Kiwanja mojawapo ambacho ni kivutio ni "Stadium 974" ambapo kimetengenezwa kwa kutumia makontena 974 na kitavunjwa punde baada ya kumalizika kwa michuano hiyo.
Vikosi vya timu vitaanza kutangazwa mapema mwezi ujao wa November na kila timu itatakiwa kuwa na wachezaji 26 badala ya 23 kama ilivyozoeleka.
Mechi ya ufunguzi tarehe 20 Nov itamuhusisha mwenyeji ambapo itakuwa ni Qatar Vs Ecuador.
Kwa raundi mbili za mwanzoni katika hatua ya makundi, mechi zitapigwa katika majira yafuatayo; Saa 7:00 mchana, Saa 10:00 jioni, Saa 1:00 Usiku na Saa 4:00 Usiku.
Baada ya hapo, mechi za raundi ya mwisho za makundi, mechibza mtoano mpaka Fainali zitakuwa zikipigwa Saa 1:00 usiku na Saa 4:00 usiku.
Masaa ya Qatar ni sawa kabisa na masaa ya hapa Afrika Mashariki, hivyo muda utakuwa unafanana.
Tutashuhudia mechi zote 64 kupitia DStv. Kwa wale wa kustream, Hesgoal.com itakuwa chaguo sahihi kwako.
Updates zote za vikosi vitakavyoitwa, ratiba za mechi, jezi, uchambuzi na mengineyo utayapata hapahapa kwenye uzi huu.
Karibuni sana...
View attachment 2383805
Ratiba kamili ya Mechi za Kombe la Dunia 2022 Qatar
Kumbuka: Muda wa Mechi ni kwa saa za Afrika Mashariki HATUA YA MAKUNDI RAUNDI YA 16 ROBO FAINALI NUSU FAINALI FAINALIwww.jamiiforums.com
Messi au Neymar
Brazil walikaa 1-0.Copa America ya mwisho uliangalia walipokutana?
4-1 hii kama sijakosea. Kuna goli Lampard alifunga likakataliwa ikapelekea kuanzishwa kwa mchakato wa VAR kama kumbukumbu zangu ziko vizuriMashabiki wa Uingereza msijisahaulisheView attachment 2422003