Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hao wanatoa Ratiba huku wanajikatia.View attachment 2422387
Hii ni Ratiba Ya Kukatika Umeme ya Afrika Kusini, Kule ESKOM inawanyoosha TANESCO isubiriiiii sema Ndio Vile hawawezi kusema sanaaa. Wanategemea Umeme wa Generator hadi leoooo nchi yenye viwanda vingi vile na Uchumi Mkubwa. Wanapoteza Hela Nyingi sana South Afrika Kuputia Umeme. South Afrika wanaenda Hatua Moja Mbele Hatua Tano Nyumaaa…..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tanzania Tuvumilie tuuu kuna sehemu tupo pazuri
South Afrika Wanakata Umeme hadi Hospitalini [emoji23]
Kabisa...uongo mkubwa huo
Si ndio, ndio maana sijaelewa imekuaje offsideNahisi tusiangalie kipa yuko wapi ila tuangalie mtu wa mwisho wa timu inayoshambuliwa ...
Ligi yetu kama kawa ...sisi hatupo duniani🤣🤣Azam moja huko
Aaaah kuna wadada wa brazili na walevi wa eng naona zile drones zitaanza kufanya kazi 😄Wametii amri bila shuruti..bia watakunywa ndani ya makontena yao
Mtu wa mwisho awe kipa au mchezaji wa ndaniSi ndio, ndio maana sijaelewa imekuaje offside
Hawana uvumilivuAaaah kuna wadada wa brazili na walevi wa eng naona zile drones zitaanza kufanya kazi 😄
Kwelii
222
223
224
225
Katika simu zoteee kiswahilii
Tv sijui maana umeme umekatika
Ila ufunguzi ulikuwa kwa Engl
🤣🤣🤣🤣Nyieeee yaan kama naangalia Yanga yangu [emoji172][emoji169]
Gooooooooooal
Hapo kipa anahesabiwa kama defender na huyo beki anahesabiwa kama mchezaji wa mwisho (kama kipa tuseme)Mkuu Ina maana hujaona kwenye watu waliotumia kupima offside mbele Yao kilikuwa na mchezaji wa Qatar? Hii offside kiufupi sijaielewa