Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

View attachment 2422387

Hii ni Ratiba Ya Kukatika Umeme ya Afrika Kusini, Kule ESKOM inawanyoosha TANESCO isubiriiiii sema Ndio Vile hawawezi kusema sanaaa. Wanategemea Umeme wa Generator hadi leoooo nchi yenye viwanda vingi vile na Uchumi Mkubwa. Wanapoteza Hela Nyingi sana South Afrika Kuputia Umeme. South Afrika wanaenda Hatua Moja Mbele Hatua Tano Nyumaaa…..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tanzania Tuvumilie tuuu kuna sehemu tupo pazuri

South Afrika Wanakata Umeme hadi Hospitalini [emoji23]
Bora hao wanatoa Ratiba huku wanajikatia.

Kunaaeneo wanakata umeme Hadi wiki Acha Ujinga

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nahisi tusiangalie kipa yuko wapi ila tuangalie mtu wa mwisho wa timu inayoshambuliwa ...
Si ndio, ndio maana sijaelewa imekuaje offside
 

Attachments

  • 51581DCF-A238-48E4-8165-37BF193EF834.jpeg
    51581DCF-A238-48E4-8165-37BF193EF834.jpeg
    35.1 KB · Views: 4
  • Thanks
Reactions: Lee
Goooooooooooollll,[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mkuu Ina maana hujaona kwenye watu waliotumia kupima offside mbele Yao kilikuwa na mchezaji wa Qatar? Hii offside kiufupi sijaielewa
Hapo kipa anahesabiwa kama defender na huyo beki anahesabiwa kama mchezaji wa mwisho (kama kipa tuseme)

Kuna kitu kizuri najaribu kukueleza ila nakosa namna nzuri ya kukiwakilisha, uniwie radhi.
IMG_20221120_193241.jpg
 
Back
Top Bottom