Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #1,461
Bila hurumaWazee wamelambwa 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila hurumaWazee wamelambwa 🤣
Kulikuwa na dogo mmoja mwenye asili ya kitanzania, wamempa promo sana mpaka nikasema namimi ntaishabikia QatarWazee wamelambwa 🤣
Na singeli imebuniwa na Mtanzania na inapigwa Tanzania tuIla mziki wa rhumba ni habari nyingine kwa kweli.
Mashabiki wao wameonekana kuwa na morale sana yani timu hata ilipoongozwa bao mbili halafu haichezi katika kiwango kizuri lakini bado mashabiki walikuwa wabishi
Hebu tuache bwana hhahahaha 😆 😆 😆 😆 😆Kitu pekee Mtu mweusi alichogundua ni aina ya mziki wa Singeli na Rhumba.
Aidha tunachomzidi Mzungu ni uwezo wa wanawake wetu kutingisha makalio...kwa level ya juu inayomshangaza Mzungu hasa pale anapotingisha tako moja huku lingine likiwa limetulia
They will not make it to the knockout stage
ThubutuHivi South Africa alitoboa kwenye kundi lake?
Sio konde kweli?Kuna wimbo mmoja umepigwa mwishoni live performance nimeuelewa Sana unaitwaje Na muimbaji Ni nani
Acha ujingaSio konde kweli?