Mbeya Girl
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 298
- 627
Mpira bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisema Herve ni noma, watu wanasema tu Zambia kachukua CAF ila wanasahau huyu jamaa mchango wake.HuyuHeve Renard no kocha kweli kweli
hawa kina Sanchez na Queiroz wa Qatar na Iran wanakula pesa ya bure ya waarabu
timu zao hata pasi mboili hawawezi piga
Heve Renard ana CV nzuri sana
Saudi Arabia wanachezaa vizuri mno ukilinganisha na waarabu wenzao
Nafasi ya mzungu kukosea ni ndogo sana
Leo ndugu wa argentina wanalala hoi 🤣🤣🤣🤣Mpira bado sana
Umeona eeeKocha alikuwa anajaribu kikosi eeh...sasa ndio ameingiza watu
Wakishinda draw.Umeona eee
Mimi nilipoona tu wamemchukua Otamendi na kina Di Maria nikajua hawafiki mbaliHii Argentina ni kikundi cha Wahuni tu.
Mnatutia aibu Saudi Arabia anawafunga magoli makali kama ivi afu mnataka kombe labda kombe la mbuzi Argentina hawez kupambana na timu za ulaya ilo Goli la pili la Saudi Arabia unaombea mkopo benkiMsijali mechi bado argentina anashinda
Wale wa 2+ mambo safiMikeka iko hoi
Saudia ni timu ya kuivimbia Argentina kweli mbona maajabu ya sufuri kuingia kwenye kikombeArgentina wamepatwa na kitu gani?
Sijui..
Soka halipo hivyoMimi nilipoona tu wamemchukua Otamendi na kina Di Maria nikajua hawafiki mbali
Kuna jamaa hapo juu nilimwambia hata Argentina akishinda leo ila hawezi mfunga Brazil kwa namna yoyote ile kwa aina ya Squad yao