Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Bado mpira unachezwaFT'
Den 0-0 Tun
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mpira unachezwaFT'
Den 0-0 Tun
Hapa Qatar mpira ushaishaBado mpira unachezwa
Leo mhindi furaha tele.Tunataka kuona magoli yanapatikana through husling na sio penati
Mlio beti hapo vipi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapa Qatar mpira ushaisha
Mikeka miwili, mmoja wa 1.5 over umechana, mmoja wa 1X upo hai, hopefully France atashinda, Mexico atatoa 1.5 over ili kesho niamke na uchangamfu😀Leo mhindi furaha tele.
Ndio maana nimeuliza, hivi kwenye mechi hizi kuna yeyote aliye beti na mkeka wake ukaenda exactly kama matokeo yalivyokuja?Leo mhindi furaha tele.
Messi leo anapiga hattrick
yamekua haya tenaHii world cup ya Qatar timu za kiislamu zinashangiliwaaaaaaa sanaaaa huko uwanjani kuliko team za kizungu. Is like Islam vs white culture Sasa ngoja mzungu aingie fainali watajua hawajui.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣yamekua haya tena
Sisi ss ndo umerud sio mda.. Yan dah mgao wnyw hauna hata sio maalum wanakata ovyo tuTayari, Januari kashafanya yake
Timu za africa sijui magoli watayapata wapiHawa waarabu Tunis cjui kama watawavuta machoz waafrica
Keeper wa Saudia Mohamed Al OwaisMechi ya Argentina vs Saudi Arabia nani amekua Man of the match?