Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mbona kama kipa alikua mbali na mpira kasevuje hapa ila ndo maajabu ya mpira hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama kipa alikua mbali na mpira kasevuje hapa ila ndo maajabu ya mpira hayo
Msijali tutawaambiaMtupe tu updates tanesco washafanya yao.
AsanteMsijali tutawaambia
What a save
Mama anaupiga mwingi mpaka unamwagikaMtupe tu updates tanesco washafanya yao.
Hapo ndo ujue kipa mwepes kufika na hapo ana 37 yrs htr sana huyo m2.. Kuna yy na yule wa uSwiss(Yann Somer) kwnz ni wazr 1v1 Yan wana balaa.Mbona kama kipa alikua mbali na mpira kasevuje hapa ila ndo maajabu ya mpira hayo
Vikosi hutoka saa 1 kabla ya match. Nenda livescoreWakuu nikitaka kuangalia kikosi kinachoenda kucheza mechi flani naenda wapi??
Site nyingi zinaweka wakiachia...nenda fifa plusWakuu nikitaka kuangalia kikosi kinachoenda kucheza mechi flani naenda wapi??
Pole lipa kwa kutumia kumbukumbu no.yao 300000 na kiasi exactly..kama una application ya tigo inakuwa bomba zaidiNajaribu kulipia dstv inakataa
Sjui network maana tigo na airtel zote zimeshindikana
Nasikia timu ya Poland imesindizwa nchini Qatar na Ndege za kivita..ndege ya wachezaji iko kati huku midege ya kivita kwa pembeni.. watu wana mbwembwe
Ili siku ukipigwa useme tulishirikiana? Sitaki😂😂😂Haya basi fanya nikutumie hii faida ya leo ukanywe soda kesho. Au hela za kubet ni dhambi?😀😀