Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Pole sans Costa Rica. Honestly Japan Sina uhakika kama watatoboa kwenye hili kundi but all in all anything can happen in WC
 
Japan huwa na mpira flani hivi wa kuvizia,hawashambulii sana ila wakikushambulia shambulizi lao moja tu lazima jasho likutoke,huwa wanachanganya wakishavuka ule mstari wa katikati..akina hazard huwaelewa hao jamaa ni waviziaji balaa
 
Huyu Spain hana huruma🤣
IMG_20221123_210342.jpg
 
Back
Top Bottom