Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Are sure.Hebu nipe utabiri wako wa Saud vs Poland ulikuwaje ?๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are sure.Hebu nipe utabiri wako wa Saud vs Poland ulikuwaje ?๐๐๐๐
Mbona hivyoooo jamani.Wale wa Denmark tujiandae kumpa NDOIGE France.
Hello team France [emoji632]
Ongea kwanza swala la kataa kulalia pua Leo ndo uongee ya MessiLeo messi anaaga mashindano
Girouuuuuddddd atapata magoli tulia kunywa juice kabisaMimi huwa napenda mpira kuangalia ninapokuwa neutral. Ila France wanapocheza huwa naishiwa pozi.
Sasa inakuja mechi itakayonipa pressure. Ninatamani nikalale. Mimi team France. Balaa leo.
Wamexco wameambiwa wakishinda leo wadada wa huko kwao watatembea uchi mexico city....sasa wee huoni hiyo motisha balaaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃOngea kwanza swala la kataa kulalia pua Leo ndo uongee ya Messi
Wale wa Denmark tujiandae kumpa NDOIGE France.
Nikalale tu sasa.Nitaangalia ya usiku Mexico vs Argentina. Maana hiyo sina teamPoint tatu denmark
Team Brazil ila napenda Saudi AsongeWewe itakuwa team Argentina.
Ndo hivyo atokeArgentina atoke tu
Saudi kalishwa nguruwe plate 2 ndio ishatoka hio,Are sure.Hebu nipe utabiri wako wa Saud vs Poland ulikuwaje ?
Argentina atokeNdo hivyo atoke
Hapo nipo na France tu ila Argentina ni 50/50 hawaeleki unaweza ukashangaa kitakachowakuta leo,๐ซ๐ท na ๐ฆ๐ท ndo team zangu za Leo...
Leo najua raha watatupatia
๐ฌ๐ฌ๐ฌFrance 0-1 Denmark[emoji16]
Sasa ww unashabikia team ikishaanza kufunga?? ๐คฃ๐คฃ๐คฃHapo nipo na France tu ila Argentina ni 50/50 hawaeleki unaweza ukashangaa kitakachowakuta leo,
Usije ukapotea hapa mrembo๐ซ๐ท na ๐ฆ๐ท ndo team zangu za Leo...
Leo najua raha watatupatia