raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Pulga hata ukimuangalia unaona kabs kajichokeaHakukuwa na mechi za majaribio za kutosha
Eniwei tuendelee kuinjoi mbungi
Ngoja tuone kama La Pulga ataamkaje leo na hao wapolishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pulga hata ukimuangalia unaona kabs kajichokeaHakukuwa na mechi za majaribio za kutosha
Eniwei tuendelee kuinjoi mbungi
Ngoja tuone kama La Pulga ataamkaje leo na hao wapolishi
Griez alikuwa offside.Jamani goli la france limekataliwa kwa sababu gani na var?
Kivipi tena wakati yule beki wa tunisia alinui na aliucheza ule mpira kwa kichwa ukampaliaGriez alikuwa offside.
Jamani goli la france limekataliwa kwa sababu gani na var?
Hapana mzee hapa wanatuchanganya yaani beki aumenye mpira udomdoke mbele yangu uniambie tena kuwa nipo offsideKweli duniani huwezi kufahamu yote maana kwenye anga zako hua unaelezea kwa kina kabisa
Jamaa akiamua anaupiga mwingi sana yule Poland wakikaa vibaya watapigwa na kitu kizitoPulga hata ukimuangalia unaona kabs kajichokea
Asa Argentina akishinda na saudia akashinda wote wana Qualify yaani wanajipambania wao akuna anaemtegemea mwenzakeUwe unaelewa,muda huo huo Saudi anacheza na Mexico. Ni wapi nimesema Saudi anacheza na Argentina ?
(Kwa elimu yangu ndogo)Sheria ya offside inasema kuwa kama mchezaji alikua nafas ya offside na mpira ukapigwa hatakiwi kuinterfere na mchezoHapana mzee hapa wanatuchanganya yaani beki aumenye mpira udomdoke mbele yangu uniambie tena kuwa nipo offside
Tupooo....Team Messi mnajiandaa kulia au kucheka ?Tunaoimbea Saudi Arabia ishinde naiqualify tujuane.
Na mlivyo mbilikimo,mnakutana na magiants ma poland.Tupooo....
Hell no me team poland...sio ArgentinaNa mlivyo mbilikimo,mnakutana na magiants ma poland.
Martinez haanzi ?Mmeogopa urefu wa Lewandoski na wenzake.Vamonos [emoji1033]View attachment 2431905
Wajukuu wa malkia wana msemo wao #itscominghomeDawa ya Hili kombe ni kuhama kila timu mpka inayochukua kombe
Ukiona ninaombea Saudi aqualify na nimemtaja Messi.Ujue the other way around is true.Bibafsi ninatamani kuona Poland na Saudi wanaqualify.Asa Argentina akishinda na saudia akashinda wote wana Qualify yaani wanajipambania wao akuna anaemtegemea mwenzake
Me piaaaUkiona ninaombea Saudi aqualify na nimemtaja Messi.Ujue the other way around is true.Bibafsi ninatamani kuona Poland na Saudi wanaqualify.