Wajitume vipi jamaninwakati sie wenyewe huku hatuwathaminiKiukweli ni kwasababu ni waafrica...ila sina imani na timu zetu, yaani mchezaji wa africa akiwa na mpira mda wowote anaweza nyang'anywa...bora Ghana kidogo wachezaji walikuwa na uwezo wakumiliki mpira tatizo na wao walikuwa hawajitumi kama Cameroon.