Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Nauliza swali....kwann watu wanakumbatiana na kupigana vibao vya matako kwenye hii mechi. Nimeona wachezaji wawili wa poland wakiwa wanaingia...uwanjani. Hapa naangalia wachezaji wa poland na france wanahug na kuspank each other...whites wote naona wameoza.
Hiyo ya kupigana kwenye makalio sio tu kwenye mechi hii wala kwenye football pekee

Kama unafatilia sports kuanzia basketball, American football, baseball n.k wote huwa wanapigana ivo ni kama wanapeana 'tano'
 
Nauliza swali....kwann watu wanakumbatiana na kupigana vibao vya matako kwenye hii mechi. Nimeona wachezaji wawili wa poland wakiwa wanaingia...uwanjani. Hapa naangalia wachezaji wa poland na france wanahug na kuspank each other...whites wote naona wameoza.

Wameozaje sasa na wewe ?
 
France Job done!

Kila la kheri Senegal, ingawaje nimewaua hapa
IMG_20221204_183251_533~2.jpg
 
Yani kama Argentina atakutana na France kwakweli France itabidi nimkate kwa mida kwanza . Mahaba yangu kwa messi ni zaidi ya mahaba kwa mume
 
Nauliza swali....kwann watu wanakumbatiana na kupigana vibao vya matako kwenye hii mechi. Nimeona wachezaji wawili wa poland wakiwa wanaingia...uwanjani. Hapa naangalia wachezaji wa poland na france wanahug na kuspank each other...whites wote naona wameoza.
Aisee hizi mambo zenu za upinde sasa mnataka kuzipeleka mbali Sana

Ni kawaida sana Kwa wachezaji wa mpira wao Kwa wao au na kocha wao kupigana vibao vya makalioni

Huwa wanafanya hivo kama ishara ya kumtakia mchezaji all the best, au kumpa motisha,au kuridhishwa na kiwango alichoonesha mchezaji katika mechi husika

Na wala sio kwao tu ni Dunia nzima hii utaiona, kuanzia Bongo Hadi huko uarabuni, fatilia pia ligi yetu ya NBC utaona hicho kikitokea

Kwahiyo sidhani kama ni vizuri Kwa kila kitu kuhusisha na mambo ya ushoga na kufanya mazuri yanayotokea kwenye kombe la Qatar hayapewi nafasi ila tunabaki tunavipa airtime vitu ambavyo sio lengo
 
Back
Top Bottom