Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Baby Hakim utakaa hapo wallpaper mpaka mtakapotolewaaaaaa

Lenie
Baby ake huyo hapo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ƒ
FF9EC73B-9917-49A5-B3D1-4C602894E834.png
 
Nipo nipo. Si unajua tena amka za weekend na hangover za Burazili jana. Naamka nakuta game ishaanza, nikazama kwenye TV hata nisiwaze kuingia huku kwanza. Hapa furaha kama yote. Viva Morocco, Viva Africa. Kilichonifurahisha zaidi ni Ronaldo naye kulia. Angelia na Messi jana ingekuwa poa sana.
Nimekupoteza [emoji22]
 
Sasa unaweza kunipigia cm
Mwanzo ulitaka kunivurugua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Team langu limepita banaaaa
Sitaki, umenipigia kelele muda ule sikio langu linauma

Ronaldo alikua analia maskini πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nilisema mwanzoni kabisa, kuwa hii WC ya safari hii imekuja kinyumenyume...
Muendelezo ndiyo huu..
Mambo ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ kwa Morocco πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦πŸ‡²πŸ‡¦
Ni kama kuingia kwenye nyumba ya popo bawa usiku wa Giza, ukikaa vibaya umeliwa
Argentina Jana chupuchupu
 
View attachment 2442134

Pain killer kaka mpaka sasa ameonekana anayekaza fuvu na kukalili ni nani.


ACHA KUKALILI,haya Morocco hao hapo nusu fainali ,acha kukalili ongelea current form ya timu husika na si history.

Nimekuwekea ujinga wako uusome vizuri.
Naomba sanamu lako lijengwe humu JF Joseph 1989 kwa kufukua kaburi la Mchambuzi uchwara wa soka TZ [emoji1787]
 
Back
Top Bottom