Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

[emoji838] Normal Player
🟠 GOAT [emoji238]

IMG_7988.jpg

IMG_7989.jpg
 
Pamoja na zaidi ya nusu ya washabiki wa soka duniani wakitamani na wengine wakitaka Argentina kushinda kombe la dunia chini ya Messi, wamesahau kuwa Sir God hapangiwi....

Mwisho wao ni leo! Na Messi anakwenda kuweka rekodi mpya ya kukosa Kombe la Dunia kama kawaida yake!
 
Pamoja na zaidi ya nusu ya washabiki wa soka duniani wakitamani na wengine wakitaka Argentina kushinda kombe la dunia chini ya Messi, wamesahau kuwa Sir God hapangiwi....

Mwisho wao ni leo! Na Messi anakwenda kuweka rekodi mpya ya kukosa Kombe la Dunia kama kawaida yake!
Nadhani mwenye record mbaya ni yule jamaa wa kulia lia akipigwa benchi maana akijitahidi sana robo

Sasa mbona unampangia Mungu tena
 
Pamoja na zaidi ya nusu ya washabiki wa soka duniani wakitamani na wengine wakitaka Argentina kushinda kombe la dunia chini ya Messi, wamesahau kuwa Sir God hapangiwi....

Mwisho wao ni leo! Na Messi anakwenda kuweka rekodi mpya ya kukosa Kombe la Dunia kama kawaida yake!
Sir God hapangiwi ndo maana amevuka kote huko wakati mlikuwa mnamuombea kushindwa...tena amevuka from zero (mechi ya saudia) to hero (anaingia final).
Jiandae kisaikolojia maana fainali anacheza kama utanii
 
Pamoja na zaidi ya nusu ya washabiki wa soka duniani wakitamani na wengine wakitaka Argentina kushinda kombe la dunia chini ya Messi, wamesahau kuwa Sir God hapangiwi....

Mwisho wao ni leo! Na Messi anakwenda kuweka rekodi mpya ya kukosa Kombe la Dunia kama kawaida yake!
Argentina anaweza akawa ana vingi vya kushinda ila sio kwenye mechi ya leo
 
Back
Top Bottom