Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa anafanya mengi sana ila anawekwa sana nyuma nyumaHathaminiwi na nani? Mbona anaaminika sana kwa umri wake.
No, hajachangeShe changed har name
She changed har name
Kiukweli Wanajitahidi sanaaLeo Morroco ndio tutajua wapi panavuja ubora wao uko wapi 😅😅😅😅😅😅😅
Kombe gani lile ambalo mlikosa mbele ya Germany Kwa kufungwa Goli moja au wew mwezetu unazungumzia kombe lipiI repeat Argentina [emoji1033] anzeni mazoezi ya kushangilia na kubeba kombe as soon as possible
Usiende kulala komaa tu mpaka hii mechi iishe kwanza, ndo tukienda kulala tutakuwa tumejua Nani anaenda kupambana na Messi Kwenye fainaliKambi ya Fisi haya naenda kulala umenisema sana.. nitajua kesho..
Chuki inawasumbua
Kwa kweli Morocco wana roho ngumu, nimependa mashabiki wao wanashangilia mwanzo mwisho...Hii mechi bado kwani Morocco wana roho ngumu.
Ni striker mzuri na ana heshima yake kwenye soka boss ndo maana amepata nafasi ya kucheza club kubwa na yupo timu ya taifa.Huwa anafanya mengi sana ila anawekwa sana nyuma nyuma
Nitajuaje kwa umelala Kalpana, Embu acha kuzuga hapa nioneshe room yako uku umelala kwa bed
Kwa Hakimi e?Goli lazima litokee huku upande wa kulia
Ha haha kwan mkuuu MBAPE NA DEMBELE huwaoni? Hao nao wanawaita GOTI repeat Argentina [emoji1033] anzeni mazoezi ya kushangilia na kubeba kombe as soon as possible
Huku tushajaa we ungetafuta timu nyingine ya kuishabikiaLeo niko France. Tukicheza Final narudi Argentina...