Nyie bwana mtakufa tuu...mlisharuhusu goli mbili.subiri mpira dk 90
Kama mtaenda hadi penalty na france wakaanz kupiga wao nakwambia mmekwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie bwana mtakufa tuu...mlisharuhusu goli mbili.subiri mpira dk 90
Mbape ni shida, sema sub ya kolo Muani inmesaidia sanaKumamamaeee hii miwa anayoipiga Mbappe mamamamamaaeeee
Mlijisahu mliaza kushangilia mechi haijaisha na apo kati ndio tumekupoteza SasaOtamendi otamend otamendi nakuita mara 3 hakikisha hili kombe tunabeba la sivyo utapata laaana timilifu ya kumyima kombe Messi
😁We em kwendraaaa
As things stand, tayari kanyakua Golden boot(7 goals)Anapambania kiatu cha dhahabu
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mvuto umerudi sasa naona starehe ya fainaliVipi bado haina mvuto?
Kuna mtu alikua anamuulizia huku naona yeye ndo kapoteaMbappe is Insane
Kafanya jambo jema saana, kuongeza midfielder ndaniBright decision
Aisee ahsante....Laki 550,000 inaondoka huku naona...nimeongea sana...sasa nipo kimya busy na simuMkuu acha tu nikupe pole masikini
Historia yako peleka uko, this is footballNashangaa wanaoshabikia Argentina, america kusini ni bara ambalo lina weusi weeengi lakini shangaa kwenye timu yao ya taifa hakuna mchezaji mweusi, miaka ya 1820s baada ya biashara ya utumwa kusitishwa raisi wao aliwaua watu weusi weengi sana wengine wakakimbilia Brazili na Ecuador Mimi ni nani niwashabikie waargentina?
Umeona subs za akili za dechamps?Big mistake
Ile komenti ya kurisk mkuyenge naikumbuka sanaTunaanza upya asee
Aiseemvuto umerudi sasa naona starehe ya fainali