Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa mna viherehere vya kupost mapemaFainali ya kombe la dunia inayo endelea hivi sasa nchini Qatari imekosa mvuto kabisaaa!!
haina hadhi ya kuitwa fainali.
Yaani ungeniona ungefikiri ni mama ake mdogo Mbappe ninavyohangaika huku. Lord pleaseeeeeee🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Umefufukaaaaaaa ma mchuchu
Basiii Back to back la France litafufukaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Aendelee bwana alianza vizuri sanaKesha acha kutupia sijui sababu [emoji23]
Leo ni kumaaaaaaaaaaaaa,Kumaninaaaaaaa mtajua leoooo
Weeee ni mgeni eti? Pole
26 December..the best League in the World inarejea.Npo nmechill na halaand tuna msubr alvares arudi
Hakika mkuu kocha Kabugi kinomaArgentina wamekosea sn kumtoa di maria, alikua n kila kitu leo. Hpo ndo wamewapa nfs france, ikitokea wamefungwa leo wamlaumu kocha na sub zake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu nimekuita kwa ajili ya Argentina tangu waaibike kwa mechi ya saudi na nikauona ukuu wako. Mungu naomba leo ukajidhihirishe tena ili hata asiyekuamini akuamini. Wapatie Argentina ushindi. Nitarudi hapa baada ya ushindi. Maana Mungu niliyemuita Mungu wa mama yangu hawezi niabisha. Watch and see His greatness
Tuzidishe maombi jmnBwana Yesu asifiwe.
Aisee nilikuwa nalia kila nikimuona Mbappe. Mungu atende leo jamani daah
Mtaje aliyeko pale juu boss.26 December..the best League in the World inarejea.
Kuna jamaa alikua anamuulizia mbappe humuWoyoooo umeona kazi ya mbappe
Mchokoze basi aendeleeAendelee bwana alianza vizuri sana