Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Kwaiyo wewe EPL hutaki kusikia kabisa? Na uefa jeVAMOS TO sleep
It's not over until you done...Messi did it
Sasa wengine ngoja tukalale
Until next time
##2026##
Switch to Local Mbungi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo wewe EPL hutaki kusikia kabisa? Na uefa jeVAMOS TO sleep
It's not over until you done...Messi did it
Sasa wengine ngoja tukalale
Until next time
##2026##
Switch to Local Mbungi
Mkuu hyo avatar yako inaonesha dhahiri wewe ni mchezaji mzuri wa game ya Maleo 🤣S
Nimemuonesha mbappe amecheka Sana
Anasema huyo bwana mdogo Hana elimu
[emoji1430][emoji1430]
EPl mm ni mshabiki wa Liverpool nawapenda mnoo sema muda wa kuangalia hizo mechi ndo sinaa mpk iwe zali unikute nimekaa mahali..Kwaiyo wewe EPL hitaki kusikia kabisa? Na uefa je
Kwamba uliangalia ww tu kwenye tv sio???? Sisi wengine hatukuona et?Kwa msio elewa sio Kwamba ivyo mnavyozani kafanya uhuni sio Ila apo alikua anajiandaa kunyanyua golden gloves yake
Mkuu wewe ni mfuatiliaji wa hii kitu?Mbappe kipindi cha pili😅
View attachment 2451276
Ulale ujipoze machunguKwamba uliangalia ww tu kwenye tv sio???? Sisi wengine hatukuona et?
We lidada shida yako ni kushabikia mahasimu wa King LEONEL ANDRES MESSI CUCCITTINI. Tofauti na hapo, mpira unaujua. Nimeona comments zako tangia tournament inaanza, uko deep. Kudos!Kina Anduje basi leo hamlali.
We lidada shida yako ni kushabikia mahasimu wa King LEONEL ANDRES MESSI CUCCITTINI. Tofauti na hapo, mpira unaujua. Nimeona comments zako tangia tournament inaanza, uko deep. Kudos!
Huku Buenos Aires, ni shangwe tu. Hatupangiwi muda wa kulala, wala muda wa kuamka!
Kwnz ndo alikua kocha mwnyw umr mdg kbs kwny Michuano na ndo kabeba.kocha wa argentina leo amelia
unajua kila mtu akiwaza zile fedheha za saudi kwa messi na kulinganisha na huu ushindi ndo hasira za furaha zinaziidiiiiii nasemaaaaaa acgeni tujiachie bwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
where is saudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
where is ronaldoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
SawaJamani aliyepo karibu na huyu mtangazaji wa TBC anayeitwa Nazareth Utepe amuambie atangaze Mpira. Jamaa anatumia muda mwingi kutoa Mipasho tuuuuuuuu hadi inaboa sana . Anatakiwa kuuzungumzia mpira unaochezwa na sio kutumia muda kuzungumzia maoni yake na mibasho.
Msikilizeni mtaona ninachokisema
Mkuu hyo avatar yako inaonesha dhahiri wewe ni mchezaji mzuri wa game ya Maleo 🤣
Bas umemaliza kwa ilo.Mi ni mfuasi wa Papa Fransisco muajentina..hyo kwetu ni kama mambo