CoNAS tayariiiii tangu Jana jioni
Hongera mkuu natumai September conference haikuhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CoNAS tayariiiii tangu Jana jioni
Hongera mkuu natumai September conference haikuhusu
basi utakua ume disko mbona Mimi matokeo nayaona
hudaiwi ada ya mwaka huu?? kama unadaiwa huwez kuyaona matokeo yako
Uki disco huoni matokeo?
aisee namshukuru Mungu maana kulikuwa na Dk mkorofi alikua ananinyima raha na kozi yake ila nimemchomoa tena kwa kishindo! hahaha!
Aisee... kwa hiyo hii haiathiri wale wanaopata mikopo?am not kidding dude!!
yani system imekuwa set according to standing debts alizo nazo mwanafunzi. kama huna deni kwa huo mwaka utayaona matokeo na kama unalo huwez kuyaona.
huu ni utaratibu wa siku nyingi toka chuo kilipo introduce cost sharing na has pale ambapo ada wanafunzi wanakopeshwa nusu nusu kinyume na enzi zile ambazo wanafunzi walikuwa wanalipiwa ada yote
Acha kumdanganya, hata ukidisco ni lazima uyaone matokeo yako then afer few weeks wanakufuta aris Ndipo hutaweza kuyaina.
Aisee... kwa hiyo hii haiathiri wale wanaopata mikopo?
kwa sababu ili upewe boom kwa kipindi kinachofuata ni mpaka matokeo yako yapelekwe bodi ya mikopo ili waone validity yako pale chuoni kama unaendelea ama umedisco.. sasa hapa usumbufu utakuwa umeongezeka ama vipi?
itajulikana kesho baada ya college nyingne znazosifika kwa kula vichwa kama COET,COHU,UDSL na COSS zikitoa matokeo yao.lakin kwa haraka tu,matokeo sio mazuri,mwaka wa kwanza udbs,vijana 37 wameliwa vichwa tayar huku robo tatu wakiwa wamesup somo la accounting.over
mwanafunzi ana disco baada ya kushindwa kuchomoa sapu alizopata au hata kabla ya September conference? hebu nieleweshe
Hata kabla ya conference waweza disco endapo GPA yako itasoma below 1.8. Kibali cha kuhudhuria conference ni GPA ya 1.8 and above except kwa CONAS nadhani maana wao ni 2.0
itajulikana kesho baada ya college nyingne znazosifika kwa kula vichwa kama COET,COHU,UDSL na COSS zikitoa matokeo yao.lakin kwa haraka tu,matokeo sio mazuri,mwaka wa kwanza udbs,vijana 37 wameliwa vichwa tayar huku robo tatu wakiwa wamesup somo la accounting.over
Hata kabla ya conference waweza disco endapo GPA yako itasoma below 1.8. Kibali cha kuhudhuria conference ni GPA ya 1.8 and above except kwa CONAS nadhani maana wao ni 2.0