Aris-Udsm

Aris-Udsm

itajulikana kesho baada ya college nyingne znazosifika kwa kula vichwa kama COET,COHU,UDSL na COSS zikitoa matokeo yao.lakin kwa haraka tu,matokeo sio mazuri,mwaka wa kwanza udbs,vijana 37 wameliwa vichwa tayar huku robo tatu wakiwa wamesup somo la accounting.over

Dah nasubiria matokeo kwa hamu niyaone mh mbona hao wa udbs wengi sana basi na hapo bado COET UDSL idadi itakuwa kubwa
 
Perry hizo college ni mpya au maana hadi naondoka hayakuepo ! Kwa shule ya biashara a/c inawasumbua wengi sana na business mathematics wengi wanaliwa vichwa poleni sn kazeni buti.

,COHU na COSS mwaka wa kwanza udbs,vijana 37 wameliwa vichwa tayar huku robo tatu wakiwa wamesup somo la accounting.over
 
Last edited by a moderator:
Kuna Dr mpare alikua hapo kwa sasa ni mkuu wa wilaya alikua pasua kichwa namuongelea Kadeghe.

Dah nasubiria matokeo kwa hamu niyaone mh mbona hao wa udbs wengi sana basi na hapo bado COET UDSL idadi itakuwa kubwa
 
Kuna Dr mpare alikua hapo kwa sasa ni mkuu wa wilaya alikua pasua kichwa namuongelea Kadeghe.

Ni kadhege alikuwa akisema ana kamata shuttle tano ujue kuna kuumia tangia aondoke Cl hawakamati watu wengi kama enzi zake
 
itajulikana kesho baada ya college nyingne znazosifika kwa kula vichwa kama COET,COHU,UDSL na COSS zikitoa matokeo yao.lakin kwa haraka tu,matokeo sio mazuri,mwaka wa kwanza udbs,vijana 37 wameliwa vichwa tayar huku robo tatu wakiwa wamesup somo la accounting.over
poa kaka, nangoja matokeo!

ila pole zao..
 
Back
Top Bottom