Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Unafahamu kuna mawaziri wanotokana na ubunge wa kuteuliwa na Rais au viti maalumu?
Waziri ndiye mbunge wetu ambaye sisi tumempigia kura ili aende kusimamia usalama pamoja na maslahi yetu. Sisi hatukumpigia kura balozi.
Sisi tunamsukuma Waziri ili na yeye amsukume Balozi wake huko Ulaya.