Armenia - Azerbaijan Military and Political Turmoil: Wizara ya Mambo ya Nje inatoa tamko gani juu ya usalama wa watanzania waishio katika nchi hizo?

Unafahamu kuna mawaziri wanotokana na ubunge wa kuteuliwa na Rais au viti maalumu?
Waziri ndiye mbunge wetu ambaye sisi tumempigia kura ili aende kusimamia usalama pamoja na maslahi yetu. Sisi hatukumpigia kura balozi.

Sisi tunamsukuma Waziri ili na yeye amsukume Balozi wake huko Ulaya.
 
Inawezekana Waziri Kabudi yuko busy kwenye kampeni za uchaguzi mkuu.
Sijui ila Wizara sasa ndio inapaswa kusema ili watanzania wawe na peace of mind kuwa hakuna roho za wenzao ambazo zipo rehani kule.
 
Balozi Zetu nyingi ni kama Stoo tu za kutunzia vitabu. Hazina Maana. Siku ukibahatika kusafiri utaamini haya niliyoandika hapa.
 
Dogo leo kama sijakuelewa.
Nijuavyo tamko hutolewa endapo kuna taarifa za raia husika wametendewa visivyo au mipaka imefungwa na wamekwama kutoka au wako hatarini kwa namna yoyote ile.
Ikiwa mapigano ni ya muda mrefu, kwanini unafikiri sasa ndio muda mwafaka kwa tamko?
 
kwani Tanzania haina ubalozi huko Armenia au Azerbaijan?
nadhani swali hili wangeulizwa mabalozi wa huko nategemea watakuwa na cha kujibu
Hao sidhani kama tuna mahusiano nao
 
Sijui ila Wizara sasa ndio inapaswa kusema ili watanzania wawe na peace of mind kuwa hakuna roho za wenzao ambazo zipo rehani kule.
Kama una ndugu huko na haujui anaendeleaje na hali ilivyo,mwache usisumbue watanzania Kama hawana hiyo peace of mind,maana kafuata nini nargono karabakh ambako kihistoria yanayotokea ni kawaida yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…