Arnold Schwarzenegger apata ajali jijini Los Angeles

Arnold Schwarzenegger apata ajali jijini Los Angeles

... nahisi alijua yuko kwenye igizo la kibabe kama enzi zake zile! Paap; kumbe yuko barabarani! Illusion.
Au ni maandalizi ya kigongo kipya
 
Bima nao huwa hawatoi mpunga kirahisi rahis lazima wafanye upembuzi yakinifu..ingekua hivyo kwa tanzania bima nyingi wengekuwa wamefirisika maana ajali ni kila kukicha!
Huyo Mwamba inasemekana ana makosa lakini hajatetemeka hana hofu..mpunga upo..Jamaa yupo kwenye industry tangu tunazaliwa ana Mawe kinoma.

Unajua moja ya siri kubwa ukiwa na mpunga ni kujiamini hubabaishwi na mambo madogo kama hayo bila kusahau kiburi....

Miaka kadhaa niliishi Bukoba; Sasa kuna mama alikua kwenye ka starlet kake anashuka mteremko fulani mbele kulikua na hii harier New model( hizi baboon battocks) jamaa katoka nayo Dsm kumpelekea mteja breki zika fail mama kapalamia harier kesi ikaenda polisi basi akapigiwa mme wa yule mama!
Jamaa hakua na maneno mengi aliuliza hiyo harier bei gani? 32M, jamaa akasema wamkabidhi funguo mke wake na kila document anakuja kuwapa hela kwani hataki kero kama hizo! Kesi ikaisha hivo..

Tutafute hela....
Itakuwa alikuwa pale Nyangoye kutokea Rwamishenye. Pale kuna kona mbaya alafu mteremko, nimeishi pale ajari nyingi nimezishuhudia
 
Hujui lolote kuhusu bima, bora uulize kuliko kuandika stori ndeeefu ziszo na mashiko
Mimi sijui. Vipi nikikugonga sehemu wazi kimakusudi bila sababu yoyote au nikikugonga kwa uzembe wangu kama speed kali au ulevi napo bima italipa hata kama ni premium?
 
Itakuwa alikuwa pale Nyangoye kutokea Rwamishenye. Pale kuna kona mbaya alafu mteremko, nimeishi pale ajari nyingi nimezishuhudia
😀..ilikua Kale ka mteremko ka Kashura pale maeneo ya kanisani mama akaivaa harier new model kipindi hicho ndo zinatoka toka!
Vizur mkuu umeishi kule!! kule nilichopendea ni hali ya hewa aiseeh kupo greenish sana!! beach za kiroyera..e.t.c..bk kuna kauzur kwa namna yake...
 
Hujui lolote kuhusu bima, bora uulize kuliko kuandika stori ndeeefu ziszo na mashiko
wewe ndo hujui lolote kuhusu bima!! hapo nimeandika juu juu..Generalization...sasa ukitaa nikuelezee kwa ufasaha useme...

nimeandika kwamba bima huwa hawalipi kirahisi rahis lazima wafanye assessment zao! sasa utasemaje sijui lolote kuhusu bima wakati nimeandika sentesi moja!
Wewe ni Juha kweli kweli..usipende ligi za kijinga na watu usiowajua
 
Huenda hiki kizazi cha sasa wanaweza wasimjue sana huyu Mnyama wa "COMMANDO".
commando.png
commando 2.png
 
Mimi sijui. Vipi nikikugonga sehemu wazi kimakusudi bila sababu yoyote au nikikugonga kwa uzembe wangu kama speed kali au ulevi napo bima italipa hata kama ni premium?
mkuu huyo jamaa anayejiita Abuu hajui lolote kuhusu bima anataka ligi zisizo na maana!! Ndo maana nikasema kama kila ajali bima wanalipa wote wangefirisika!! Bima wana vigezo vyao ambavo vinawabana sana watumiaji wa vyombo vya moto au wafanyabiashara..

ingekua ni rahisi hivo mfano labda nina duka kariakoo lina bima kubwa na linaelekea kufirisika nikipiga kiberiti duka anadhani jamaa watotoa mpunga kirahisi..ni ngumu sana sana
 
wewe ndo hujui lolote kuhusu bima!! hapo nimeandika juu juu..Generalization...sasa ukitaa nikuelezee kwa ufasaha useme...

nimeandika kwamba bima huwa hawalipi kirahisi rahis lazima wafanye assessment zao! sasa utasemaje sijui lolote kuhusu bima wakati nimeandika sentesi moja!
Wewe ni Juha kweli kweli..usipende ligi za kijinga na watu usiowajua

Mbona yanakutoka matusi? Unajua ni vipi bima wanalipa ajali? Au unazungumza habari za mitaani? We unadhani ajali zote zinatokea bahati mbaya? Uliambiwa wapi kwamba kampuni ya bima haimlipi dereva aliyesababisha ajali? Wewe unapima vipi kwamba ajali hii makusudi na hii bahati mbaya? Ndio nikasema hujui lolote kuhusu bima labda matusi tu unataka mimi nikujue ili nikufanye nini?
 
Back
Top Bottom