Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Yule ostadh, Mwalimu wa chuo arudi kwenye hili jukwaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nilivyoona wakuu wameingia najua huko alipo yupo confused.

Rudi hapa upambane na bingwa wa logic Kiranga na wenzie.

Hapa mwenyewe huwa najifunza

Mjinga mimi
 
mimi siamini kama binadamu ni mnyama.ndo maana nimekuuliza.kama ushawah kumuona ng'ombe mwenye kichwa cha binadamu.kwenye quran hakuna hayo mafundisho
Usitake kila kitu kiende kwa imani.

Huna haja ya kuamini binadamu ni mnyama. Hapo ni kujua tu.
 
Ni Bora kuamini Kuna pepo,halafu ukaenda ukakuta haipo, kuliko kuamini haipo halafu ukaenda ukakuta IPO imejaa tele
 
Wakikaribia kufa ndo kauli zao hizo,hiyo yote hofu maana ananusa harufu ya mauti na maisha yake yote alimsahau Mungu,Sasa duniani ana bangalows huko anakoenda anaona kabisa Hana kitu...hakuna Mungu yaani universe imejileta tu na sayari dunia imekua habitable(kukalika) by chance tu!!..ni kutofikiri
Nanukuu kutoka kwa (KIRANGA)
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

unaruhusiwa kuwa na imani yako, lakini, ukianza kusema imani yako ipo kwenye ukweli, unatakiwa uthibitishe hilo.
 
Ni Bora kuamini Kuna pepo,halafu ukaenda ukakuta haipo, kuliko kuamini haipo halafu ukaenda ukakuta IPO imejaa tele
Kwanini uamini pepo ipo na kukufanya kuwa mjinga maisha yako yote, wakati unauwezo wa kujua kwa hakika kuwa haipo!?

Unaweza kuelezea pepo ni kitu gani kwa maelezo machache!?
 
Nanukuu kutoka kwa (KIRANGA)
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

unaruhusiwa kuwa na imani yako, lakini, ukianza kusema imani yako ipo kwenye ukweli, unatakiwa uthibitishe hilo.
Umeona kiranga ni mtu mwenye tafakuri jadidi!?..kiranga elimu uchwara imemfanya ajione anajua kila kitu,kisha-ignore akaunti yangu kisa huo mjadala wa uwepo wa Mungu,ni mtu aliyevurugwa tu,hajibu swali anazunguka tu na maelezo mengi yasiyo mantiki
 
Ukitaka kusema mwanadamu exists unatakiwa uthibitishe katokea wapi, wewe ni mwanadamu, do u exists? Umetokea wapi? Thibitisha umetokea kwa nyani
Yani hata nikisema sijui kama mwanadamu ana exist au ha exist, hujathibitisha Mungu yupo.

Your question is a logical non sequitur.

Mimi nakwambia hivi, binti mchanga wa miezi 6 leo, hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme mtu wa miaka 30 leo.

It is logically impossible.

Wewe unauliza, kama huyo binti wa miezi 6 leo si mama mzazi wa huyo mwanamme mwenye miaka 30 leo, basi mama yake mzazi huyo mwanamme ni nani?

Swali lako ni pointless hapa, mimi point yangu ni kwamba binti mchanga wa miezi 6 hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme wa miaka 30, sijasema najua mama mzazi wa huyo mwanamme ni nani, na wala sihitaji kumjua mama mzazi wa huyo mwanamme kujua kuwa binti mchanga wa miezi 6 leo hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme mwenye miaka 30 leo.

Kuhusu mwanadamu. The very name is a fiction.

By the way, mwanadamu ha exist, hiyo habari ya mwanadamu ni story tu ya Wayahudi.

Huyo Adamu mwenyewe huwezi kuthibitisha alikuwepo, hivyo habari ya "mwanadamu" ni ya kutungwa tu.
 
Yani hata nikisema sijui kama mwanadamu ana exist au ha exist, hujathibitisha Mungu yupo.

Your question is a logical non sequitur.

Mimi nakwambia hivi, binti mchanga wa miezi 6 leo, hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme mtu wa miaka 30 leo.

It is logically impossible.

Wewe unauliza, kama huyo binti wa miezi 6 leo si mama mzazi wa huyo mwanamme mwenye miaka 30 leo, basi mama yake mzazi huyo mwanamme ni nani?

Swali lako ni pointless hapa, mimi point yangu ni kwamba binti mchanga wa miezi 6 hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme wa miaka 30, sijasema najua mama mzazi wa huyo mwanamme ni nani, na wala sihitaji kumjua mama mzazi wa huyo mwanamme kujua kuwa binti mchanga wa miezi 6 leo hawezi kuwa mama mzazi wa mwanamme mwenye miaka 30 leo.

Kuhusu mwanadamu. The very name is a fiction.

By the way, mwanadamu ha exist, hiyo habari ya mwanadamu ni story tu ya Wayahudi.

Huyo Adamu mwenyewe huwezi kuthibitisha alikuwepo, hivyo habari ya "mwanadamu" ni ya kutungwa tu.


Wewe si mwadamu? Una exist? Sawa, any logical explanation umetokea wapi? Ukiacha ya Biblia...?
 
Wewe si mwadamu? Una exist? Sawa, any logical explanation umetokea wapi? Ukiacha ya Biblia...?
Mkuu,

Hicho ulichokinukuu umekisoma? Umekielewa?

Unachoshindwa kuelewa ni kipi?

Nakwambia hivi, katika hoja ya kusema Mungu hayupo, swali lako ni pointless.

Tuanzie hapo kwanza.

Unaelewa kwa nini swali lako ni pointless?
 
Mkuu,

Hicho ulichokinukuu umekisoma? Umekielewa?

Unachoshindwa kuelewa ni kipi?

Nakwambia hivi, katika hoja ya kusema Mungu hayupo, swali lako ni pointless.

Tuanzie hapo kwanza.

Unaelewa kwa nini swali lako ni pointless?


Angalia chanzo cha hili andiko wewe umeanzia katikati.
 
Anabet maisha yake mkuu.

Halafu hii Pascal Wager ni fallacy.

Ukiishi kwa kumpa mshahara wako Askofu, kwa kuamini utalipwa mbinguni, halafu Askofu akaishi maisha mazuri wakati wewe upo kwenye umasikini, halafu ukafa, ikawa ndiyo mwisho, hakuna moto, hakuna mbingu, hakuna Mungu, hapo utakuwa umepotea sana.
 
Back
Top Bottom