Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Nina miaka 4 hivyo naweza kujisaidia mbele ya kadamnasi
chizi akili hana lakn hawez kujisaidia mbele za watu kama mnyama.binadamu kapewa akili na utambuzi kitu ambacho mnyama hajapewa.utasemaje wako sawa?
 
kwani quran sio sayansi?
Quran ni kitabu cha imani, si sayansi.

Imejaa contradictions kibao za kijinga zisizofuata mantiki zinazoonesha ni kitabu kilichoandikwa na watu wajinga zama za giza.

Ukibisha nitakuwekea moja baada ya nyingine uzipangue hapa.
 
Quran ni kitabu cha imani, si sayansi.

Imejaa contradictions kibao za kijinga zisizofuata mantiki zinazoonesha ni kitabu kilichoandikwa na watu wajinga zama za giza.

Ukibisha nitakuwekea moja baada ya nyingine uzipangue hapa.
soma quran 23:12-14
 
soma quran 23:12-14
Nimekupa chsllenge ya kupangua contradictions zilizopo kwenye Quran.

Hujaijibu.

Je, umeshindwa? Umekubali Quran ina contradictions usizoweza kutatua.

Hiyo Quran 23:12-14 is not scientific. There is no scientific proof for the existence of Allah. Science goes with proofs.

Quran 23:12-14

"And certainly did We create man from an extract of clay.

Then We placed him as a sperm-drop in a firm lodging.

Then We made the sperm-drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah , the best of creators."
 
mwenyezi mungu katika quran anasema kila nafsi itaonja umauti .je aliongopa?
Mkuu hakukosea! Amesema "itaonja umauti" ndio na sio kufa. Hii ina maana, kwamba kwa vile nafsi ipo kwenye muhumili wa huyo binadamu basi ni sharti adhbitishe kuondolewa kwa uhai wa mtu wake.
 
mwenyezi mungu katika quran anasema kila nafsi itaonja umauti .je aliongopa?
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mwenyezi Mungu yupo, na kwamba hizo habari za Quran si hadithi za watu tu.

Usichukulie tu kwamba, kwa kuwa Quran imesema yupo, basi yupo kweli.

Quran ina uongo na contradictions nyingi sana, nikikuwekea hapa huwezi kumaliza kuzitatua.
 
Nimekupa chsllenge ya kupangua contradictions zilizopo kwenye Quran.

Hujaijibu.

Je, umeshindwa? Umekubali Quran ina contradictions usizoweza kutatua.

Hiyo Quran 23:12-14 is not scientific. There is no scientific proof for the existence of Allah. Science goes with proofs.

Quran 23:12-14

"And certainly did We create man from an extract of clay.

Then We placed him as a sperm-drop in a firm lodging.

Then We made the sperm-drop into a clinging clot, and We made the clot into a lump [of flesh], and We made [from] the lump, bones, and We covered the bones with flesh; then We developed him into another creation. So blessed is Allah , the best of creators."
Mkuu hebu tuelimishane kuhusu hili neno "We made" yeye na nani?
 
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mwenyezi Mungu yupo, na kwamba hizo habari za Quran si hadithi za watu tu.

Usichukulie tu kwamba, kwa kuwa Quran imesema yupo, basi yupo kweli.

Quran ina uongo na contradictions nyingi sana, nikikuwekea hapa huwezi kumaliza kuzitatua.
Mkuu kwa ufupi hicho kitabu ni nukuu tu kutoka kwenye torati kwa asilimia kubwa na nyongeza zao kiasi.
 
Kwa nini waumini wengi wanashindwa kuelewa hii logical non sequitur?

Actually, ukifikiri kwa kina, kifo kuweza kuwepi ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Ina onekana watu waliunda dhana ya Mungu kujifariji tu, Baada ya kukosa majibu ya maswali yanayo watatiza.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hebu tuelimishane kuhusu hili neno "We made" yeye na nani?
Mkuu,

Mimi sikubali uwepo wake. Naona hayo ni maneno yaliyoandikwa na watu tu, tena zama za kiza.

Hivyo ukiyasoma, utakutana na ujinga mwingi sana.

Kitendo cha Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kuhitaji kitabu kukueleza habari zake, wakati ana direct access ya ubongo wako, anaweza kukuandikia kitabu chote hicho kwenye DNA, usihitaji mgogoro wa tafsiri wala mwalimu wa dini, tayari kinaonesha huyo Mungu hayupo na hicho kitabu ni hadithi za watu tu.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kwa nini atumie kitabu, teknolojia dhaifu yenye migogoro mingi, kukuelezea habari zake, wakati ana direct access na ubongo wa kila kiumbe, na ana program mwenyewe DNA inayobeba taarifa zote?
 
Back
Top Bottom