mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
wewe umesema binadamu ni mnyama.nikakwambia umeshawah kumuona mnyama kavaa suti ukajibu ndio.nikakwambia niwekee picha ya mbuzi kavaa suti huna.kiufupi wazungu wanawadanganya sana.binadamu hawez kuwa sawa na mnyama.kwenye quran sijawah kufundishwa kuwa binadamu ni sawa na mnyama.JAPO UNAJIONA UMESOMA LAKINI HAUJAELIMIKATulia bwana mdogo na upeo wako finyu.
Kwani wewe mjinga sio Binadamu?
Embu post picha ukiwa huna nguo.