Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Bro Kiranga una msaada mkubwa sana humu, Kwenye mijadala huwa hufiki hitimisho na wadini, ila mwisho wadini wakikaa peke yao huko kwao wanaanza kukuelewa. Mwisho wa siku Umesaidia watu wengi sana Kujikomboka kutoka kwenye utumwa wa kifikra.
Asante sana.

Hawa wengi wao tatizo lao hawajui Kiingereza, huwa na post vitu vingine vya Kiingereza vinawazidi kimo kusoma.

Wangesoma, nina hakika wengi wao wangeona hata aibu kuleta garbage zao hapa.
 
It's better to believe there's a heaven because it's not cost full, than not and you find it....😳😳😳
Depends hio cost unai-hesabu vipi..., Sababu kama hauishi na unategemea utaishi baadae na hakuna baadae its a loss of an otherwise fruitful life....

Pili sidhani kama itakuwa ni furaha kuwepo huko baadae ambapo mababu zangu sababu walikuwa watu poa lakini hawakuamini tu unachoamini wewe; au wale wadau ninaoishi nao kila siku wawe wanachomwa moto na mimi ninafurahia na watu ambao hata huku kitaa zilikuwa haziivi..., nadhani kwangu mimi hio ndio definition of Hell !!!! and in that case I had rather stay Dead....
 
Kwanini uamini pepo ipo na kukufanya kuwa mjinga maisha yako yote, wakati unauwezo wa kujua kwa hakika kuwa haipo!?

Unaweza kuelezea pepo ni kitu gani kwa maelezo machache!?
Sina ninachojua.

Mjinga mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…